Friday, 11 October 2013

RAIS MSTAAFU MHE.MKAPA AZINDUA KAMPENI YA TUSOME TANZANIA (LET US READ TANZANIA CAMPAIGN).




Imetumwa kwenye Jamii
PIX_1_ddeae.jpg
Rais Mstaafu Mhe. Benjamini William Mkapa ambaye pia ni mgeni rasmi akihutubia vijana mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya tusome Tanzania (Let us read Tanzania) aliyoizindua leo katika viwanja vya Makao Makuu ya Maktaba ya Mkoa jijini Dar es Salaam.
PIX_2_48a6e.jpg
Baadhi ya vijana walioshiriki uzinduzi wa Kampeni ya tusome Tanzania (Let us read Tanzania) wakifuatilia kwa makini hotuba toka kwa mgeni rasmi Mhe. Benjamini William Mkapa (hayupo pichani) leo katika viwanja vya Makao Makuu ya Maktaba ya Mkoa jijini Dar es Salaam.
PIX_3_c7cf2.jpg
Mmoja wa wadau toka timu ya Let us read Tanzania akimpa maelezo juu ya vitabu mbalimbali viliyotungwa na waandishi mashuhuri ndani na nje ya nchi.
PIX_4_e28cd.jpg
Rais Mstaafu Mhe. Benjamini William Mkapa ambaye pia ni mgeni rasmi akiwasomea hadithi mbalimbali na kuwauliza maswali mbalimbali watoto ambao ni wanafunzi toka shule mmbalimbali leo katika viwanja vya Makao Makuu ya Maktaba ya Mkoa jijini Dar es Salaam.(P.T)

No comments:

Post a Comment