WAJUE WAABUDU SHETANI............????

Kuna mtumishi kutoka Kenya yuko Dar es salaam anajulikana kama Mchungaji Joseph, amekuwa akizunguka vituo mbalimbali vya daladala akihubiri habari za Mungu na kusema mambo mbalimbali anayoyaita ni siri za shetani na kazi anazozifanya, Pia ni kwa jinsi gani watu wanachukuliwa misukule!
Mtumishi huyu alielezea aina ya nguo ambazo zimetengenezwa kuzimu na Mtu akivaa hizi zenye wanyama hawa, huonekana moja kwa moja kwenye ramani ya kuzimu




Alipokua akihitimisha mahubiri yake, alitaka watu watoe mafungu yao ya kumi na sadaka, pia aliwaombea wote waliokua na mahitaji mbalimbali.