Sunday, 13 October 2013

WANACHUO WA AJTC NDANI YA MJ FM 93.0 ARUSHA

Na hivi ndivyo ilivyo kuwa

 Picha, Habari Na Emanuel Onesmo Nda
nshau.

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Mwajuma Abdul, Bi.Merlyine Olotu, Bi.Virginia Daniel (aliyeinama),Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma katika picha ya pamoja.
Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akipangilia miziki kabla ya kuanza kipindi rasmi.Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa habari na Utangazaji Arusha (AJTC) ngazi ya Stashahada wamepata fursa yakuzindua kipindi cha Clab ya wanafunzi Mashuleni hivi leo jijini Arusha.

Kipindi hicho kinalenga kuibua mambo  yanayotokea katika chule za Sekondari na Vyuo yenye kurekebisha na kukosoa tabia mbalimbali za wanafunzi pamoja na kubadilishana vipawa mbalimbali.
Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Redio MAMBO JAMBO fm (MJ redio) Bw JONATHAN NJAID akifuatiwa na fundi mitambo Bw Sjaona Massawe pamoja Mhariri mkuu  Bw.deogratius Michael Lyimo.

                                   

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Virginia Daniel,Bi Mwajuma Abdul,Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma wakipata maelezo mafupi kabla ya kuanza kipindi.



Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akitoa ishara yakuashiria kipindi kimeanza rasmi.

Bi. Nasra Kimaro (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.


Bi. Mwajuma Abdul (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.


Mtangazaji Gilbert Boniface akielezea waskilizaji umuhimu wakupiga simu hapo studio nakutoa maoni juu ya wageni waliokaribishwa katika kipindi hicho,pembeni ni mtangazaji Nickson Jonathan akimsiliza kwa makini.

Bi Virginia Daniel akichangia mada juu ya umuhimu wa serikali kutumia mfumo wa VIDEO katika ufundishaji wa tamthilia kwenye Mitaala yake.


Walionyoosha mikono juu ni Bi.Mwajuma Abdul pamoja na Bi.Virginia Daniel wakiashiria kuipinga hoja ya Bi.Merilyine Olotu, kushoto kabisa ni Bw Elibariki Madih akifuatilia kwa makini na mdahalo huo.

Fundi mitambo wa Redio Mambo Jambo Bw.Sjaona Masawe akijaribu timetable  katika moja ya kazi zake za kila siku.


 

Pamoja na hayo kipindi hicho kitarushwa kila siku ya Jumamosi kuanzia saa tano kamili hadi kufikia muda wa saa nane.
katika uzinduzi huo wanafunzi hao wa darasa la NATRON wamepata nafasi yakuzungumzia mambo mbalimbali kama ratiba inavyoonyesha hapa chini.
 
Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Redio MAMBO JAMBO fm (MJ redio) Bw JONATHAN NJAID akifuatiwa na fundi mitambo Bw Sjaona Massawe pamoja Mhariri mkuu  Bw.deogratius Michael Lyimo.

                                   

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Virginia Daniel,Bi Mwajuma Abdul,Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma wakipata maelezo mafupi kabla ya kuanza kipindi.


Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akipangilia miziki kabla ya kuanza kipindi rasmi.

Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akitoa ishara yakuashiria kipindi kimeanza rasmi.

Bi. Nasra Kimaro (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.


Bi. Mwajuma Abdul (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Mwajuma Abdul, Bi.Merlyine Olotu, Bi.Virginia Daniel (aliyeinama),Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma katika picha ya pamoja.
 
Mtangazaji Gilbert Boniface akielezea waskilizaji umuhimu wakupiga simu hapo studio nakutoa maoni juu ya wageni waliokaribishwa katika kipindi hicho,pembeni ni mtangazaji Nickson Jonathan akimsiliza kwa makini.

Bi Virginia Daniel akichangia mada juu ya umuhimu wa serikali kutumia mfumo wa VIDEO katika ufundishaji wa tamthilia kwenye Mitaala yake.


Walionyoosha mikono juu ni Bi.Mwajuma Abdul pamoja na Bi.Virginia Daniel wakiashiria kuipinga hoja ya Bi.Merilyine Olotu, kushoto kabisa ni Bw Elibariki Madih akifuatilia kwa makini na mdahalo huo.

Fundi mitambo wa Redio Mambo Jambo Bw.Sjaona Masawe akijaribu timetable  katika moja ya kazi zake za kila siku.

Blogger  Emanuel Ndanshau (aliyekaa)akifuatilia kwa makini kipindi  baada kuhojiwa akiwa ndiye Msaka Tonge wa siku.
 Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa habari na Utangazaji Arusha (AJTC) ngazi ya Stashahada wamepata fursa yakuzindua kipindi cha Clab ya wanafunzi Mashuleni hivi leo jijini Arusha.

Kipindi hicho kinalenga kuibua mambo  yanayotokea katika chule za Sekondari na Vyuo yenye kurekebisha na kukosoa tabia mbalimbali za wanafunzi pamoja na kubadilishana vipawa mbalimbali.

Pamoja na hayo kipindi hicho kitarushwa kila siku ya Jumamosi kuanzia saa tano kamili hadi kufikia muda wa saa nane.
katika uzinduzi huo wanafunzi hao wa darasa la NATRON wamepata nafasi yakuzungumzia mambo mbalimbali kama ratiba inavyoonyesha hapa chini.

No comments:

Post a Comment