Tuesday, 19 August 2014

CHELSEA KISIWA CHA MARAHA, YAUA 3-1 DIEGO COSTA AKIHAMISHIA MAKALI YA LA LIGA ENGLAND

Wachezaji waliompa raha kocha Jose Mourinho usiku huu ni mshambuliaji mpya Diego Costa aliyefunga dakika ya 17, Andre Schrulle dakika ya 21 na Branislav Ivanovic dakika ya 34.
Diego Costa ameanza na moto Ligi Kuu England baada ya kutisha La Liga

SUAREZ AANZA KAZI RASMI BARCELONA IKIUA 6-0 NA KUTWAA KOMBE

       MSHAMBULIAJI Luis Suarez jana ameichezea kwa mara ya kwanza timu yake mpya, Barcelona ikishinda mabao 6-0 Uwanja wa Camp Nou dhidi ya FC Leon, baada ya kupunguziwa adhabu na CAS.
Suarez alifungiwa kujihusisha kabisa na soka kwa miezi minne baada ya kumng'ata Giorgio Chiellini wa Italia kwenye Kombe la Dunia, lakini CAS inapunguza makali yake ya soka kwa kumruhusu kufanya mazoezi na kucheza mechi zisizo za mashindano za Uruguay na Barcelona.
Na jana akaingia kuchukua nafasi ya Rafinha dakika ya 76, wakati huo tayari Barca inaongoza 4-0. 
Ameanza kazi: Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Luis Suarez aliyetua kwa

Friday, 8 August 2014

GIGSS AIFUNGIA MAN UNITED IKICHAPWA 5-1 NA KITIMU CHA DARAJA LA KWANZA

MKONGWE Ryan Giggs alimtamanisha kocha wake Louis van Gaal baada ya kufunga bao moja magwiji wa Manchester wakifungwa 5-1 na Salford City, timu ambayo kwa sasa anaimiliki kwa pamoja na Paul Scholes, Nicky Butt na Gary na Phil Neville katika mchezo wa hisani uliovutia mashabiki 12,000 Uwanja wa AJ Bell mjini Eccles.
Nyota hao waitwao ‘Class of 92’ pamoja na kuonyesha ufundi bado upo, lakini walizidiwa nguvu na kasi na vijana wadogo wa timu ya Daraja la Kwanza kaskazini. Rio Ferdinand alisafiri kutoka kwenda kuwa kocha Msaidizi, lakini hakuinusuru timu yake ya zamani na kichapo.

Winga mchawi: Kocha mpya Msaidizi wa Manchester United, Ryan Giggs akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Salford FC

Pichaz za baadhi ya Wasanii waliotua Mwanza tayari kwa ajili ya Serengeti fiesta kesho CCM Kirumba



Wasanii hao ni wale ambao wataperfoam kesho waliofika ni pamoja na Ney wa Mitego,Young D,Mr.blue,Barakah Da Prince,Chegge na Temba,Madee,Makomando,Stamina,Young Killer,Vanessa Mdee na wengine kibao.
Miongoni mwa wasemaji wa mkutano huu na waandishi wa habari ni pamoja na Mwenyekiti wa shamrashamara za Serengeti Fiesta Sebastian Maganga ambaye amesema kuwa sababu ya kuanza kwa Serengeti Fiesta kwa mkoa wa mwanza ni kama watu wana kumbukumbu mwaka 2004 Serengeti Fiesta ya kwanza kutoka nje ya Dar ilikua ni ndani ya jiji la Dar ambayo ilikua na kauli mbiu ya Utamaduni unaendelea.
Kwa miaka 10 hii kwa sasa wameweza kushuhudia namna ilivyosambaza upendo ambayo imewajumuisha wasanii wadogo na wakubwa na safari hii Serengeti fiesta imeongeza miji na itakuwa miji 18 badala ya 14 ya mwaka jana.
Hizi ni baadhi ya picha za mkutano huo.
1prss

JACK WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY!

    Manamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia madai ya kutoka na msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper na kudai kuwa wao ni washikaji tu ila ukaribu wao umesababisha mtifuano kati yake na mchumba wake, Siwema.
Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’