Wednesday, 30 July 2014

BREAKING NEWS: WATU ZAIDI YA 20 WAMEFARIKI PAPO HAPO LEO KATIKA AJALI YA BASI LA MORO BEST LIKITOKEA MPWAPWA KWENDA DAR


MORO BEST lakutoka mpwapwa kwenda dar es salaam limepata ajali katika eneo la PANDAMBILI na kuuwa watu takribani 20  na wengine kujeruhiwa. 
Ajali hio imehusisha basi la Moro Best  kugongana uso kwa uso na roli kubwa lililobeba mabomba. kwa mujibu wa baadhi ya vyombo vya habari vinasema majeruhi wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa DODOMA [GENERAL]  na maiti zimehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya Kongwa 
 Baadhi ya Miili ya Marehemu muda mchache baada ya kupata ajali ikisuburiwa   kupelekwa Hospitali.

 Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wanaendelea kuokoa majeruhi na kuwaondoa waliofariki


Hivi ndivyo basi lilivyo Haribika

No comments:

Post a Comment