Friday, 20 June 2014

Je? wajua nchi inayo ongoza kwa amani barani Afrika


Ripoti kuhusu Kima cha amani duniani GPI kwa mwaka 2014 iliyotolewa na Taasisi ya uchumi na amani IEP inaonyesha kuwa, Mauritania ni nchi inayoongoza kwa amani barani Afrika.
Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa, Mauritius imeshika nafasi hiyo kwa kupata alama 1.544, ikifuatiwa na Botswana iliyopata alama 1.678, ambayo imechukua nafasi ya 36 duniani.
Ripoti hiyo imeonyesha kuwa, Chad, Burundi, na Liberia ziko miongoni mwa nchi 10 ambazo amani yake inaweza kutoweka katika miaka miwili ijayo.

No comments:

Post a Comment