Kutokana na hali inayoendelea kujitokeza kwa sasa nchini, machafuko mbalimbali ya kisisa na kidini yamekuwa yakitishia uwepo wa Amani Tanzania kama ilivyozoeleka mwanzo, hadi kufikia baadhi ya wananchi kuona si vema kuwapo tena katika nchi hii.
![]() |
Wakimbizi |
![]() |
Mlipuko wa mabomu |
Wananchi wamebaki kuhofia machafuko makubwa yanawezakujitokeza. Kwa yote hayo watunzi wa Mashairi Bwana FARAJA MWEPEA ,FRANK HARAMBA na ELIBARIKI MADIHI hawako mbali katika kuliongelea hili suala kupitia ushairi wao, na haya ndiyo mawaidha .
Hebu tuelewane hapa
Nauliza wadendwa hivi nani mwenye haki
anayefaa kupendwa sita sema mnafiki
vyombo vilivyo undwa vinavyo tetea haki
au mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni
Maskini wanateseka haki hazionekani
wamebaki wanabweka wamejifungia ndani
wale wenyemadaraka wamewaziba midomoni
ndo tunavyojifariji kuwa hinchi hii ya amani
Amanigamba la nje lakini ndani hakuna
kwasifa nchi zanje vitambi wana vikuna
gusamadeni ya nje wanajifanya wanaguna
kwanini walio wengi hawaachii madaraka
Wimbi laumasikini bodo linaongezeka
raia wenye amani ipo siku watachoka
uchafu madarakani halafu wanauzika
hivi we unaamini bado kuna shule za mamiti
Hata mtoto mdogo humdanganyi kwa pipi
wakushindia mihogo ukamwambia mambo vivpi
Tanzania sio ndogo tunaachiwa makapi
acheni watajirike tunabaki na mashimo
![]() |
Elbariki Madihi kulia (Mshairi) |
CHIBA WA NGOMBELEZO KULIKO WACHILUMANGA)
No comments:
Post a Comment